Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Masuala mengine ya Dini  


Masuala mengine ya dini -Sehemu ya Kwanza                              
 

1.      a)Mwenyezi mungu amewaumba majini na watu ili wamwabudu. Na katika hao majini wapo wanaomcha  Mungu na wanaofanya kinyume na hayo.Sasa majini haohao huwa wanaishi na binaadam katika hali ya kawaida na huweza kuwazuilia hao wanadam kupata mahitaji yao kama vile kufanya kazi za kidunia  na mambo mengine mengi. Je! mtu ambaye amepatwa na hali kama hii akienda kwa wataalam ambao wanaweza  kuwasaidia  nini hukum yake? Na Mtume Muhammad amesema atakayekwenda kwa mganga wa kienyeji na akayasadiki yale anayosema  mtu huyo, basi amekfueu aliyoteremshiwa yeye yaani Qur'an tukufu, Je! nini utaratibu wa hali hii

2.      suali langu nikuwa hukmu ya yazid bin muawiya ni gani?twaambiwa alikuwa mlevi,alimuuwa Husain,na hakuwa muadilifu.ni vipi masala haya?

3.      Mimi niko nje ya Nchi yangu, pia nafanya kazi katika Duka, na kazi yangu ni msafishaji Au (CLEANER)katika duka hilo kunauzwa ulevi,na nyama za nguruwe. Wakati wowote ule huwa huwajibika kusafisha panapovunjika chupa ya ulevi, au kuondosha mifuko ya takataka za Busha ambapo panauzwa hio nyama ya nguruwe na hunibidi kutamata na kusafisha mara kwa mara.Pia choo havina maji hutumia  karatasi tu.
Pia hakuna mahala hata pakuweza kusali kwa wakati wote unapokuwa kazini.
SUALA
1.Sala zangu zote huzisali baada ya saa za kazi jee inafaa kusali hivyo?
2.Kwasababu baadhi ya wakati huwezekana kukamata mifuko ndani yake mulikuwa na nyama ya nguruwe, jee nikijitoharisha inatosha na kusali?
Naomba unifafanulie masuala yangu kwa ufasaha zaidi

  1. Na katika jumla ya riwaya zilizopokelewa kwamba Mtume wa Allah –Rehema na Amani zimshukie amesema : “ Ye yote mwenye kumuamini Allah na siku ya mwisho basi asivae hariri  wala dhahabu.” Al-musnad {Musnadul–Imam Ahmad}  sas hapa ni yeyote ama mwanaume tu naomba mnieleweshe

  2. Ukijua kwamba mwanaume anazungumza na  mwanamke kwenye "email. Na huyu mwanamke siomslamu. Je nifanye nini. Kwasababu na
    jua ataenda na wataonana.  Ni fanye nini?

  3. JE? SWAHABA NI NANI ILI AITWE SWAHABA, AWE NA SIFA GANI?

  4. suala langu ni hapa Oman mtu akifa akisha kukoshwa huvalishwa sanda kisha anavalishwa nguo zake kiasi mbili au tatu na nyengine anazikwa nazo,wanasema ni lazma hivo jee kweli inajuzu?
    suala la pili pia wanasema kutahiriwa mtoto mwanamke ni lazma na imetajwa kwenye kurani jee ni kweli?

  5. MUISLAMU INAMJUZIA KUTIA JINO LA KUBANDIKA IKIWA SI LA DHAHABU.

  6. je inafaa kusali na nguo ambayo umepaka perfume ambayo ni ya spray na sio mafuta mazito kama haludi

  7. mimi niliaapa kuwa sitafanya jambo fulani lakini nimelifanya je natakiwa nifanye nini wakati nimeapa kwa mola wangu 

JIBU

 

                                                                          Endelea Mbele


| Tuandikie |