|
|
| |
MASWALI
NA MAJIBU-Masuala mengine ya Dini |
| |
|
| Masuala
mengine ya Dini-Sehemu
ya Nne |
|
|
|
|
|
- Swali
langu ni jee kuvaa nguo zenye majina ya watu
maarufu au club za mipira inajuzuu?
- napenda
kuja kwa urefu kuhusu kumuhakikia(HAQIQA)
- Nini
hukmu ya kukata panki kwa wanaume na
kuunganisha nywele.
- Nimeona
watu wengi wakienda kula katika majumba (
manyumba ) ya wanaohuzunika baada ya kifo ya
mwislamu bila hata kuwasaidia kuchimba
kaburi au kuswali katika janaza. Je, hii ni
halali?. Na kwa nini watu hupika chakula kwa
uwingi hata wakafilisika na mwishowe ni
wafakiri?
- Naomba
unijibu kwa saraha suala hili: Mimi ni
muhasib kazi yangu kama Muhasib yeyote
yule, kazi yangu ni kujenga na kupanga na
kuweka hesabu za idara yangu. Kila siku
napokea na kuweka, kulipa na kutoa na
kusambaza mali (pesa) namna kwa namna sehemu
mbali mbali. Kama inavyojulikana kazi hii
siku zote kuna kupata na kukosa na mara
nyingine kupatwa. Katika kipindi fulani
nimeweza kudunduliza pesa kiasi cha mshahara
wangu kwa njia ya ziyadat za kila siku
zisizo daiwa na wenye kulipa malipo mbali
mbali (Unclaimed Payments & Deposits)
Nilitokezewa na shida kali siku moja na kwa
kweli nimezitumia kwa hiyo haja yangu, kama
niliyokutajia hapa hizi pesa tunaziita
"unclaimed Funds" ki-hesabu hizi
pesa tunazitia/kwa matumizi ya Petty Cash.
Hakuna ubaya wowote, Jee ki-dini,ki-isilamu
hizi pesa ni halali au haramu?? hal inabidi
sasa nizilipe ikiwa ni haramu? maana ni
nyingi na kwa kipindi kikubwa sasa,
nishajibiwa majibu mbali mbali lakini
sijatosheka, naomba ufafanuzi na jawabu la
saraha. Naomba msamaha suala langu
nimeliuliza kwa kirefu.
- Swali
langu naomba kufahamishwa historia sahihi
juu ya mama MARYAM BINT IMRAN Inshaallah:
Kwamba Je, Yeye baada ya kumzaa ISSA (YESU),
Kisha baada ya hapo aliolewa na NANI?.
Kibiblia katika mihadhara wasomapo biblia
nawasikia wakitamka kutoka katika biblia
kwamba Yusufu ndiye aliyekuwa kamchumbia
Maryamu, Kisha alipojua kwamba anamimba
akaamua kumuacha kwa siri, ndipo malaika
akamtokea katika njozi akimwambia Yusufu
kwamba "usihofu kumwoa Maryamu Mkeo
yeye kabeba mimba kwa uwezo wa Mwenyezi
Mungu na mtoto atakayezaliwa jina lake
ataitwa Yesu". Sasa Je, huyo Yusufu
aliyetajwa pale ndiye yule Nabii Yusufu
mtoto wa mzee Yakub aliyekuwa Misri baada ya
kutupwa kisimani na ndugu zake au mwingine?
Naomba nijibiwe kwa mujibu wa historia
ya kiislamu kwamba mama Maryamu yeye
aliolewa na nani ili nijue ukweli hasa kwa
100%.
- Swali
ni kuwa nimejaribu kuuliza waislam walio
wengi na majawabu yapandana, kuna wanaosema
amekufa na kuna wanaosema hajafa Nabii ISSA
(A.S) Je niwe na msimamo gani katika ya hayo
mawili nauliza.
- INATAKIKANA
MTU ASOMAPO QURANI AWE NA TWAHARA.SASA KAMA
NIPO NA ASIYEJUA UISLAM(MNASWARA)NA ANATAKA
MSAHAFU AUSOME NIFANYEJE?
- INAJUZU
MWANAMKE KUJISAFISHA MIGUU YAKE NA MIKONO
KWA KUTOKANA ANAMSAFISHIA MUMEWE.TUNAJUWA
KUTOWA NYUSI NI HARAMU. JE KUTOWA
MALAIKA YA MIGUUNI NA MIKONO. NTAOMBA KUPEWA
JIBU KUTOKA KWENYE QUR ANI AU HADITH ZA
MTUME S.A.W.
- ninataka kujua jee kuna hadith yeyote au ushahidi wowote unaokubalisha
kufunga na kukithirisha duaa kwenye 15
shabaan?
JIBU
Rudi
Nyuma
Endelea
Mbele
|
|
|
|
|
|
| |
|
|
| Tuandikie |
| |
|