|
|
|
|
|
| Swala-Sehemu
ya Tatu |
|
|
|
|
|
|
- Mimi
ninauliza kunahadithi sahihi pamoja na aya
zinazo thibitisha kuwa imeruhusiwa kuswali
na viatu.
- Kunabaadhi ya watu ukiwa unasali peke yako huwa wanakufuata nyuma nao
hukupa ishara ya kukushika kama bega ili
ujue kama yeye yuko nyuma,jee vipi inafaa
kufanya hivyo au laa kwani wakati mwingine
huwa unasali suna na sio faridha.
- swali
langu ni kuhusu kutamka saydina ndani ya
swala sasa ktk kunuti inatamkwa hivyo au ktk
kunuti sio ktk swala
- tayamam
inatazamwa vipi endapo itakuwa ktk sehem ya
jiwe tupu au ktk ukuta wa nyumba
- Ikiwa
mimi nimechelewa wakati wa SALA katika ile
takbira ya kwanza ya
kisimamo cha surat-fat'ha, Kisha nimemkuta
imamu yupo katika rukuu (kashika magoti) na
mimi pale nataka kumuwahi imamu katika hali
ya kawaida na wala sio kukimbilia. JE, mimi
itanipasa nilete Takbira MBILI AU MOJA tu?.
Nikiwa na maana kwamba mimi niliyechelewa
naweza kuleta takbira moja tu kisha
nikarukuu moja kwa moja Au Itanipasa nilete
takbira mbili (ALLAH AKBAR -ya kufungua Sala,
kisha nilete nyingine ALLAH AKBAR -ya
kurukuu)??
- Salaa
ya Al Fajr : Nimesikia hoja namna,namna
lakini nataka uhakika, Eti ni kweli "
Ikikupita salaa ya al fajr ndio tena
ishakupita huwezi tena kusali? nikweli salaa
ya alfajr huwezi kukidhi??
- Je
waweza kuamka kwa swala za usiku baada ya
kuwa ushaswali witri?
- MADHII
YAINGIA AU YAMEPAKAA KATIKA KITU KAMA RADIO
AU SIMU LAKINI UKASHINDWA KUPANGUSA AU
KUSAHAU NA IKAPITA MIEZI MIWILI AUMITATU
UKAKUMBUKIA ILHALI IMESHAFUTIKA AU
HAIONEKANI AU HUJUI WAPI KATIKA HICHOKITU
UPANGUSE JE? UKIGUSA HICHO KITU ILHALI
MIKONO YANGU INA UMAJI JE? NITACHUKUA NAJISI
KTKA MIKONO. NAOMBA NISAIDIWE
- Najua
kuwa mtume ametuamuru kuwa tutembeze jeneza
kimya kimya ili tutafakari. je kusoma kalima
shahadat kama ilivyo maarufu kuna ubaya gani?
- naomba
ufafanuzi juu ya njia muafaka ya kumuombea
marehemu wako.
pia ni sahihi kuweka kibao juu ya kaburi la
marehemu wako ili uweze kulielewa vizuri?
je nini hukumu juu ya kutembelea kaburi la
ndugu yako mara kwa mara kwa lengo la
kumuombea kwa mwenyenzi mungu?
JIBU
Rudi
Nyuma
Endelea
Mbele
|
|
|
|
|
|
| |
|
|
| Tuandikie |
| |
|