|
|
|
|
|
| Swaumu-Sehemu
ya Pili |
|
|
|
|
|
- pindi
ikiwa ninastanji ikatokea bahati mbaya
kidole kikaingia ndani ya tundu ya siri na
huku nikiwa na saumu. nii hukmu ya funga
yangu?
- mimi
suala langu nnaomba mni fafanuliye, nina
ndugu yangu alilazwa hospitali kwa muda wa
mwaka mmoja, ametoka mwezi huu hospital,
inaingia sasa hivi ramadhani ya mwaka huu,
amesema atajitahidi afunge mwaka huu
atatumia dawa zake wakati wa usiku na
kukaribia alfajiri,lakini hajawahi kulipa
deni lake la mwaka jana je afanyaje, na
hajawahi kutowa sadaka ya kulisha masikini,
hajuwi kiwango gani kila siku kulisha
masikini nakuombeni mnifafanuliye jibu langu
- Swali
langu ni hili Mimi nina matatizo ta kuumwa
na tumbo nimefunga siku sita tu tumbo likawa
linauma sana hadi nimeshindwa kuendelea
naomba unisaidie je nikipona nilipize siku
au kuna njia nyingine ?
- Asalamu
aleikum, Kama inavyo eleweka Ramadhan
inafadhila kubwa sana malipo yake hakuna
anaeyajua ila mwenyezi mungu pekee.
Swali nina rafiki yangu mpenzi (mwanamke)
mzima kiafya na hana matatizo aina yoyote ya
ugonjwa, Lakini hafungi na anasema hawezi
kukaa na njaa. Je inajuzu kuwa nae
kiurafiki?
- Naomba
kujua kuwa mwanamke anayelipa siku
zilizompita katika Ramadhani kutokana na
Hedhi, ni kweli kuwa akitia nia ya kufunga
kulipa zile siku za faradhi alizokosa na nia
ya kufunga sita huwa anapata malipo ya funga
zote hizi kwa pamoja, yaani si lazima tena
aje kufunga sita za shawwal mbali?
- Mimi sasa hivi ni mjamzito. Kufunga
nimeona itamuathiri mwanangu tumboni hivyo
sifungi. Je, kuna fidia yoyote naweza kulipa
baadae? kama ipo ni fidia gani na kiasi gani?
au itabidi nilipe tu.
JIBU
Rudi
Nyuma
|
|
|
|
|
|
| |
|
|
| Tuandikie |
| |
|